Umafia haujaanza leo. Nakumbuka kiongozi fulani aliwekewa sumu kwenye microphone wakati wa kuhutubia ili afe lakini...

Mhn!Ebu funguka zaidi bhana!Mi nakumbuka ile ya Kolimba tu. Nyingine ni ya "ungaunga" wa Chenge "joka lenye makengeza", aliyekuwa akiwanga kwenye ukumbi wa bunge akakamatwa. Ule ungaunga ukapelekwa kwa mkemia mkuu ambaye alikuwa msukuma mwenzake. Wakasema ulikuwa unga wa mahindi.

Unga wa mahindi!
Hawa wanasihasa hawa!
 
Nimekumbuka umafia haujaanza leo, waKati wa uongozi wa mzee fulani katika nchi moja ya kusadikika, walipanga mpango wa kummliza kiongozi mmoja maarufu,

Kwa kuwa alikuwa awe mgeni rasmi wakaweka sumu maalumu kwenye microphone atakayotumia yeye na ile sumu ilikuwa inaanza kufanya kazi baada ya masaa kadhaa ambayo mlengwa.ndo angeanza kuhutubia,

Kwa bahati mbaya akapata Dharula hakuenda kwenye sherehe ile,

Wakamwambia msaidizi wa pili ambaye ndo anafuata baada ya mkulu kwamba basi we kahutubie, ambao walimwambia hawakujua kilichokuwa kinaendelea, pia alijua mtu mmoja tu ambaye alianza kulia kabla hata jamaa hajaanza kuhutubia, ikabidi anyanyuke aende chooni akajifuta na kurudi, hii ni kabla hajaumia mguu,

R.I.P

View attachment 903931
R.I.P Dr Omari Ali Jumaa
 
Nakumbuka ilikua tarehe 04.07.2001 kama sijakosea ingawa nilikua mdogo lakini nilielewa
Yah siku chache kabla ya sabasaba....mchana kahutubia namuona kwenye runinga kesho yake asubuhi ndio habari zikaanza kusambaa kwamba kafa usiku.

Radio mbao zinasema alikuwa akiunga mkono Pemba kujitenga, wakati mapema mwaka huo huo BWM alikuwa amefanyiza visiwani.
 
Nimekumbuka umafia haujaanza leo, waKati wa uongozi wa mzee fulani katika nchi moja ya kusadikika, walipanga mpango wa kummliza kiongozi mmoja maarufu,

Kwa kuwa alikuwa awe mgeni rasmi wakaweka sumu maalumu kwenye microphone atakayotumia yeye na ile sumu ilikuwa inaanza kufanya kazi baada ya masaa kadhaa ambayo mlengwa.ndo angeanza kuhutubia,

Kwa bahati mbaya akapata Dharula hakuenda kwenye sherehe ile,

Wakamwambia msaidizi wa pili ambaye ndo anafuata baada ya mkulu kwamba basi we kahutubie, ambao walimwambia hawakujua kilichokuwa kinaendelea, pia alijua mtu mmoja tu ambaye alianza kulia kabla hata jamaa hajaanza kuhutubia, ikabidi anyanyuke aende chooni akajifuta na kurudi, hii ni kabla hajaumia mguu,

R.I.P

View attachment 903931


Ahaaa haaa haaa
Ahaaa haaa haaa
umenikumbusha lodi lofa mwenye kauli zenye utata.
Teh teh teh tihiii
 
Unakumbuka kifo cha huyo Mkemia mkuu lakini??? Alifia wapi?? Wakati kaenda kwenye sherehe za mwanae za kidato cha nne???
Mhn!Ebu funguka zaidi bhana!Mi nakumbuka ile ya Kolimba tu. Nyingine ni ya "ungaunga" wa Chenge "joka lenye makengeza", aliyekuwa akiwanga kwenye ukumbi wa bunge akakamatwa. Ule ungaunga ukapelekwa kwa mkemia mkuu ambaye alikuwa msukuma mwenzake. Wakasema ulikuwa unga wa mahindi.
 
do! hongera umetengeneza stori ya mtego iliyoleta majibu mengi sana ambayo inatufanya tuchangamshe ubongo na kufanya tuwe na uwelewa mpana sana hata kama tutakavyowaza vingine sio sahihi lakini naamini itasaidia sana katika uelewa na kutafsiri mawazo ya watu wanazoweza kufikiri.
 
Yah siku chache kabla ya sabasaba....mchana kahutubia namuona kwenye runinga kesho yake asubuhi ndio habari zikaanza kusambaa kwamba kafa usiku.

Radio mbao zinasema alikuwa akiunga mkono Pemba kujitenga, wakati mapema mwaka huo huo BWM alikuwa amefanyiza visiwani.
Ushaambiwa hakuwa target ndiyo maana Mheshimiwa Mudhihir Moh'd Mudhihir, Mbunge wa Mchingaaa enzi hizo alianza kulia baada ya kuona chezo limegoma alietegewa tego amepata emergency na kumtuma msaidizi wake.
Jumatatu njema, ngoja tuingie mjengoni.
 
Umenikumbusha miaka 5 iliyopita bwana mkubwa alikwepa mzinga akiwa Morogoro kwenye kikao cha Tanroad na leo jamaa ndo Top manyota. ..

Nawashangaa sana watoto wa leo wasioijua Tz, utawala si lelemama kama michezo yenu ya kubeti eti. Msione watu wako pale juu wamekwepa mishale mingi na mishale haijaanza leo na wala haijaaanzia Tz ..fuatilieni akina Kennedy, Arafat, Luther n.k.

Mapambano yako kote kote likikupata unaondoshwa tu. Dunia uwanja wa fujo, starehe ni sehemu ndogo sana.
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom