Umaarufu wa CHADEMA washuka

atakuwa mwigulu savimbi mchemba huyu poleeeeeeeeeeeeeeeeeee,
ni mmoja ya wale wanaofikiria kwa kutumia matumbo rip ccm
Iliyopoteza umaarufu ni nyinyiem wewe si Chadema fanya research kabla ya kupost matope yako.
 

Kama inakaribia kuwa mfu mbona mnahaha kuwateka nyara, kuwatungia Sheria na kanuni za kikangaroo, kuwabambikia kesi, kuwang'oa kucha na kuwaua kwa kuwalipua kwenye mikutano yao mkiwatumia Polisi na Usalama wa Taifa? Shame on you!!!
 
Hebu ona huyu mzushi anavyojichanganya eti "hivi vote vimewaondolea umaarufu mkubwa walionao" kumbe umaarufu bado wanao!!!!!!!!!!Mtachanganyikiwa sana this time but the truth is, CHADEMA will never fail with all your stupid tactics.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…