mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,309
- 942
Habari wakuu
TAMISEMI walivyotoa majina ya kujiunga na kidato cha tano na chuo, mwanangu amechaguliwa kwenda Chuo cha Maendeleo ya Jamii Iringa. Nilitaka kufahamu utaratibu wa kujiunga anatakiwa akachukue form kwenye iko Chuo Iringa au kuna taratibu zipi?
TAMISEMI walivyotoa majina ya kujiunga na kidato cha tano na chuo, mwanangu amechaguliwa kwenda Chuo cha Maendeleo ya Jamii Iringa. Nilitaka kufahamu utaratibu wa kujiunga anatakiwa akachukue form kwenye iko Chuo Iringa au kuna taratibu zipi?