Cephalocauda
Member
- Jul 31, 2015
- 62
- 14
Kwa wale waliochaguliwa DUCE Karibu kwa maswali na majibu kuhusiana na college hii ya elimu pale CHANGOMBE
mbona kuna uzi humu tayar wa hii kitu,but isiwe shida hiv admission letter upewe unatakwa kuonyesha vitu gan?
VP mkuu hoster zipo za kutosha au?Kwa wale waliochaguliwa DUCE Karibu kwa maswali na majibu kuhusiana na college hii ya elimu pale CHANGOMBE
Zipo bossVP mkuu hoster zipo za kutosha au?