Uliwezaje kufanikiwa baada ya kuacha kazi ya kuajiriwa?

Sokoro waito

JF-Expert Member
Nov 21, 2014
2,201
2,587
Hamjambo wadau,

Kila kukicha watanzania wengi wanazidi kufumbuka macho kuhusu jinsi wanavyoonewa kazini kwa kulipwa posho au mshahara kidogo sana tena wengine bila hata mkataba wa kazi wala malipo ya mifuko ya jamii kwa ajili ya pensheni.

Huenda na wewe uliwahi kupitia uonevu huu ndipo ukaamua kuacha kuajiriwa na ukajikita kwenye ujasiriamali au biashara hata ukafanikiwa kwa kiwango fulani.

Toa uzoefu wako kwa wadau wa MMU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…