Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Hakuna kitu kinachooumaa kama kuachana na mtu uliyempenda sana au mlipendana nae sana.
Hakuna kitu kinachoouma kumuona mtu uliyempenda sana akiondoka kwa furaha toka maishani mwako huku akikuachia maumivu
Hakuna kitu kinachouma kama kukubali matokeo kumuachilia mtu uliyempenda aondoke toka mikononi mwako aende baada ya kuona sipendwi.
Sasa hebu hii leo hebu tujadili uliwezaje kuanza maisha upya baada ya kumpoteza mtu uliyewahi kumpenda sana ukatamani abaki maishani mwako lakini akaondoka
Hakuna kitu kinachoouma kumuona mtu uliyempenda sana akiondoka kwa furaha toka maishani mwako huku akikuachia maumivu
Hakuna kitu kinachouma kama kukubali matokeo kumuachilia mtu uliyempenda aondoke toka mikononi mwako aende baada ya kuona sipendwi.
Sasa hebu hii leo hebu tujadili uliwezaje kuanza maisha upya baada ya kumpoteza mtu uliyewahi kumpenda sana ukatamani abaki maishani mwako lakini akaondoka