kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,205
- 18,475
Kutoka hospital nikahama mji kabisa, maana waliniacha hospital,ha ha ha ha,uliumalizaje huo mgogoro mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka hospital nikahama mji kabisa, maana waliniacha hospital,ha ha ha ha,uliumalizaje huo mgogoro mkuu
ha ha ha sikuwa na huo ujasiriBasi ungefanya ukawapishanisha mlangoni tu ukasikia hata sonyo mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha ha inawezekana walijua labda wameshaua
Kabisa, maana nilichukua muda mrefu kuzinduka....ha ha ha ha inawezekana walijua labda wameshaua
Hapa kuna kitu nimejifunza mkuu,ukiona kuna timbwili tu la namna hiyo...ni bora kujiangusha chini,ili kulituliza
ha ha ha ha,lakini uliepusha shari mkuuNilijifanya bubu ghafla nikawa naongea kwa ishara. Kesho nikamdanya kuwa yule dada wa jana jini.
Hadi leo namuambia tuwe tunasali sana lile jini lisirudi. Nishamueleza kuwa jini lina tabia ya kuwa na sura moja ili wakati mwingine wakikutana nitakuwa safe.ha ha ha ha,lakini uliepusha shari mkuu
Ipo siku atakushtukia tuHadi leo namuambia tuwe tunasali sana lile jini lisirudi. Nishamueleza kuwa jini lina tabia ya kuwa na sura moja ili wakati mwingine wakikutana nitakuwa safe.
Ulitumia njia zipi mpaka wakakubaliana?
kabisa....Hapa kuna kitu nimejifunza mkuu,ukiona kuna timbwili tu la namna hiyo...ni bora kujiangusha chini,ili kulituliza