Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,354
- 40,237
- Thread starter
- #21
Inasaidia sana mkuuSafe door wanaita
Inasaidia sana mkuuSafe door wanaita
Maisha yana vichekesho sana,lakini ndio hivyo tunaishi mara moja na kufa mara mojaEquation x tena bro👣👣👣👣
Ha ha ha ha kuna siku walikuja kunitembelea,nikawapiga konyagi kubwa tu na vitafunwaFundi hukumupa hata chochote kitu mkuu?
Sijawahi kugonganisha wapenzi
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha ha hawezi kwa sababu 3/4 ya vitu vyangu anamiliki yeye
ha ha ha ha ndivyo,inavyotakiwa cha muhimu wasije wakaharibu nyumba kuuNiliwaambia nawapenda wote...na wote walinizalia mtoto mmoja mmoja.ila sikuwaoa
Jipe moyo dingiha ha ha ha hawezi kwa sababu 3/4 ya vitu vyangu anamiliki yeye
Pia nimempa watoto wa kutosha kwa hiyo mambo ya anasa hana mda nayo.
Wanaume huwa tuna mioyo ya kusaidia pindi mwanaume mwenzio anapofikwa na matatizo/tatizoHa ha ha ha kuna siku walikuja kunitembelea,nikawapiga konyagi kubwa tu na vitafunwa
Tena hao ndio wazur visimi vyao vinakuwa vinahitaj mkuyati fluentlyPia nimempa watoto wa kutosha kwa hiyo mambo ya anasa hana mda nayo.
Ha ha ha, salama tu mkuuWanaume huwa tuna mioyo ya kusaidia pindi mwanaume mwenzio anapofikwa na matatizo/tatizo
Vipi kwema lakini mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha wakiungana ni hatariKuona watu wanagombana kwa ajili yako kuna raha yake eti.😀
Kimbembe wakiungana kukushambulia.
ha ha ha haTena hao ndio wazur visimi vyao vinakuwa vinahitaj mkuyati fluently
Sent using Jamii Forums mobile app
Fundi aliona shati lishatiwa kirakaFundi hukumupa hata chochote kitu mkuu?
Sijawahi kugonganisha wapenzi
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha ha,uliumalizaje huo mgogoro mkuuWalikutana wa3 nikazimia baada kuanza kujibizana...nikabebwa kupelekwa hospital
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwaje mkuu?Niliwanunulia hisa za laki laki kwa kuku farm, saiv itakuwa wanalia
Sent using Kirikuu
Basi ungefanya ukawapishanisha mlangoni tu ukasikia hata sonyo mkuuMkuu nilihofia wangeweza kuleteana ulemavu pale, halafu lawama zote ziwe kwangu.Jamii pia isingenielewa,zaidi ya kuuza habari tu.