Vampiree JF-Expert Member Jun 29, 2020 529 1,328 Nov 29, 2021 Thread starter #21 Smart911 said: Pole sana... Click to expand... Asante sana mkuu
Vampiree JF-Expert Member Jun 29, 2020 529 1,328 Nov 29, 2021 Thread starter #22 Unforgettable said: Walikuja kunichukua sehemu ya kazi kwa kosa la wizi wa simu aisee ilikua noma sana Click to expand... Mkuu emu ongeza nyama kidogo
Unforgettable said: Walikuja kunichukua sehemu ya kazi kwa kosa la wizi wa simu aisee ilikua noma sana Click to expand... Mkuu emu ongeza nyama kidogo
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,607 52,335 Nov 30, 2021 #23 Kinachonisaidia nikifika huko vituoni kwao wananifananisha na boss wao mstaafu, mara ya mwisho hapo nilienda kulikuwa na kesi iliyohusu waumini wetu. Walinikaribisha mesi kwao wakaninunulia cha na soda na maji juu, wananiita boss. Duu niliondoka kama naenda toilet nikaishia na vitu vyao sikula. Huo upande niko salama.
Kinachonisaidia nikifika huko vituoni kwao wananifananisha na boss wao mstaafu, mara ya mwisho hapo nilienda kulikuwa na kesi iliyohusu waumini wetu. Walinikaribisha mesi kwao wakaninunulia cha na soda na maji juu, wananiita boss. Duu niliondoka kama naenda toilet nikaishia na vitu vyao sikula. Huo upande niko salama.