Holoholo-Baba Kijacho
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,976
- 14,482
Wanajamvi, tujadili hapa,ushawahi kumfumania mke wako au mume wako,mpenzi wako akifanya mapenzi na mtu mwingine? Hali ilikuwaje? Toa ushuhuda wako.
vipi ilikuwaje mkuu bujibuji?Aisee, usiombe yakukute. Kama una moyo mdogo usiende kumfumania umpendaye
pole sana mkuu,uliendelea na shughuli au stimu ilikata?Dem Alishanikutaga na mwenzakee geto ,jinc alivyomkuta mwenzie n pic kuliko yy aliishia tu kuniamkiaa kaka shikamoo ,alafu aliondokaa cjawahi muona tenaa jmn n mwaka wa kumii huu
Kamfumanie demu wako kama umemchoka hutaki Tena kuendelea naye, na pia kama una hamu ya magonjwa yasiyo ya kuambukizwa kama shinikizo la juu la damu, msongo wa mawazo, vidonda vya tumbo nkvipi ilikuwaje mkuu bujibuji?
dah hatariKamfumanie demu wako kama umemchoka hutaki Tena kuendelea naye, na pia kama una hamu ya magonjwa yasiyo ya kuambukizwa kama shinikizo la juu la damu, msongo wa mawazo, vidonda vya tumbo nk
Huu uzi uelekezwe kwa wanawake....Wanajamvi, tujadili hapa,ushawahi kumfumania mke wako au mume wako,mpenzi wako akifanya mapenzi na mtu mwingine? Hali ilikuwaje? Toa ushuhuda wako.