Ulinzi wa uhakika

Ulinzi wa uhakika

mtengera4

Member
Joined
May 5, 2013
Posts
23
Reaction score
2
Hapa mjini Arusha katika mtaa wa SANAWARI pamekuwa na hali ya usalama kwa muda mfululizo miaka mitatu sasa na hii inatokana na kuanzishwa kwa kampuni ya Ulinzi ya BLACK WHITE SECURITY ambayo makao yake makuu ni hapahapa Sanawari hivyo wananchi hasa wa wananchi wanaofanyabiashara pembezoni mwa mji yaani mitaani ambako ni makazi ya watu na ni sehemu ambazo ulinzi wa Polisi haufikiki kihurahisi mnaombwa kufika katika ofisi za BLACK WHITE SECURITY ili kupata maelekezo ya usalama wa mali au biashara zenu.
 
Hapa mjini Arusha katika mtaa wa SANAWARI pamekuwa na hali ya usalama kwa muda mfululizo miaka mitatu sasa na hii inatokana na kuanzishwa kwa kampuni ya Ulinzi ya BLACK WHITE SECURITY ambayo makao yake makuu ni hapahapa Sanawari hivyo wananchi hasa wa wananchi wanaofanyabiashara pembezoni mwa mji yaani mitaani ambako ni makazi ya watu na ni sehemu ambazo ulinzi wa Polisi haufikiki kihurahisi mnaombwa kufika katika ofisi za BLACK WHITE SECURITY ili kupata maelekezo ya usalama wa mali au biashara zenu.
Samahani mkuu,
Hili ni tangazo la biashara au ni wito wa ulinzi shirikishi katika eneo husika!?
 
Biashara matangazo. ina maana hiyo kampuni ya ulinzi inalinda mali za raia bure?
 
Hapana mzee hili si tangazo ila nimevutiwa na hali ya usala hapa mtaani make vibaka wamedhibitiwa kwa hali ya juu kiasi kwamba yale matukio tuliyoyazoea kuyasikia hayapo na hili leo kila mwananchi hapa sanawari au ukupita kila kijiwe au kwenye makazi ya watu ni stori na hili limejitokeza leo hapa mtaani watu kukusanyika na kuanza kuongelea hali ya usalama wa mtaa wa ambao umesababishwa na kampuni ya BLACK WHITE SECURITY.
 
Pamoja nakuwa sijafika hapo ofisini kwao lakini inasemekana mikataba yao ni ya bei ya kawaida kufuatana na biashara yako .
 
Back
Top Bottom