Ulinzi wa anga ya Iran ni kituko, marubani wa Kike wa Israel waliitungua na kufanikiwa kulipua viwanda vya makombora na drones

Ulinzi wa anga ya Iran ni kituko, marubani wa Kike wa Israel waliitungua na kufanikiwa kulipua viwanda vya makombora na drones

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,296
Reaction score
8,833
1730215043385.png


Hadi imefikia hatua Israel inatuma watoto wa kike kuishughulikia Iran ni dharau kubwa sana hii.

Lingekuwa ni balaa zito mno wangetumwa wale wazee wa kazi walionyakua helikopta ya Rais wa Iran, kumtegea bomu chini ya kitanda kiongozi wa Hamas akiwa Iran, Kuwahangaisha kina Yahya kutupia vijiti drone, n.k. ilibidi mabinti wapewe nafasi kupunguza uzito wa mashambulizi.

Jeshi la Israel liliingia na kutoka Iran bila ndege yake hata moja kuguswa, shambulio lilikuwa la awamu tatu kwa idadi ya ndege jumla ya 100, Awamu ya kwanza zilitumwa takribani ndege 35 kuichakaza mifumo ya ulinzi wa anga ambayo kwa kiasi kikubwa ni mitambo ya S 300 ilinunuliwa urusi, baada ya hapo anga likawa wazi, Israel waliingia na kuvilipua viwanda vya drones na makombora

Kuna zile video zinasambaa Ndege za Israel zinatamba kwenye anga la jij kuu la Tehran, Mifumo ya ulinzi imejiwasha inapiga hewa utadhani fataki, Lile sio jambo la kushangilia, Ni matusi makubwa sana yale kwa Iran, Jeshi la Iran liliogopa kutumia marubani wao wapigane na ndege za Israael wamejificha wanategemea mifumo ambayo haikuweza kudungua ndege za Israel, marubani wa wangeamua kufanya chochote Tehran hakuna ambacho kingewazuia.

IRAN IMEKIRI:
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Mifumo ya ulinzi wa anga imeteketezwa
  3. Viwanda cha makombora vimelipuliwa
  4. Viwanda cha drones vimelipuliwa
Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes
 
View attachment 3138385

Hadi imefikiea hatua Israel inatuma watoto wa kike kuishughulikia Iran ni dharau kubwa sana hii,

wale wazee wa kazi waliotungua helikopta ya Rais wa Iran, kumtegea bomu chini ya kitanda kiongozi wa Hamas akiwa Iran, Kuwashughulikia kina Yahya, n.k. wanapewa Likizo, mabinti nao wanapewa nafasi ikimaanisha ni shughuli za wanazoweza watoto wa kike hizi.

Jeshi la Israel liliingia na kutoka Iran bila ndege yake hata moja kuguswa, Yote haya yalifanikiwa kwa kuichakaza mifumo ya ulinzi wa anga Iran, mifumo hiyo kwa kiasi kikubwa ilinunuliwa urusi, mitambo aina ya S 300.
Numekuja mbio nakujua umepost uharibifu uliotokea hapa kumbe ni mblaa mblaa kama bcc na cnn
 
View attachment 3138385

Hadi imefikia hatua Israel inatuma watoto wa kike kuishughulikia Iran ni dharau kubwa sana hii.

Lingekuwa ni balaa zito mno wangetumwa wale wazee wa kazi walionyakua helikopta ya Rais wa Iran, kumtegea bomu chini ya kitanda kiongozi wa Hamas akiwa Iran, Kuwahangaisha kina Yahya kutupia drones vijiti, n.k. ilibidi mabinti wapewe nafasi kupunguza uzito wa mashambulizi.

Jeshi la Israel liliingia na kutoka Iran bila ndege yake hata moja kuguswa, shambulio lilikuwa la awamu tatu kwa idadi ya ndege jumla ya 100, Awamu ya kwanza zilitumwa takribani ndege 35 kuichakaza mifumo ya ulinzi wa anga ambayo kwa kiasi kikubwa ni mitambo ya S 300 ilinunuliwa urusi, baada ya hapo anga likawa wazi, Israel waliingia na kuvilipua viwanda vya drones na makombora

Kuna zile video zinasambaa Ndege za Israel zinatamba kwenye anga la jij kuu la Tehran, Mifumo ya ulinzi imejiwasha inapiga hewa utadhani fataki, Lile sio jambo la kushangilia, Ni matusi makubwa sana yale kwa Iran, Jeshi la Iran liliogopa kutumia marubani wao wapigane na ndege za Israael wamejificha wanategemea mifumo ambayo haikuweza kudungua ndege za Israel, marubani wa wangeamua kufanya chochote Tehran hakuna ambacho kingewazuia.

IRAN IMEKIRI:
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Mifumo ya ulinzi wa anga imeteketezwa
  3. Viwanda cha makombora vimelipuliwa
  4. Viwanda cha drones vimelipuliwa
Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes
Weka evidence ya picha au video tuone uharibifu
 
We kichwa majj, taaluma huwa haiangalii jinsia. Taaluma zote zina Ke na Me. Kuna wanaanga wa kike na wakiume. Kuna wanasheria wa kike na wapo pia wa kiume. MaDr hivyo hivyo. Sasa unashangaa nini kwa marubani wa kike wakati ni wataalam wa kutusha ndege? Na ni wanajeshi kama walivyo wajeda wengine?
Muache hii tabia ya kutumia tumbo kufikiri.
 
Mkubwa mzima unapokuwa na ushabiki wa kisekondari unatilisha huruma sana
 
View attachment 3138385

Hadi imefikia hatua Israel inatuma watoto wa kike kuishughulikia Iran ni dharau kubwa sana hii.

Lingekuwa ni balaa zito mno wangetumwa wale wazee wa kazi walionyakua helikopta ya Rais wa Iran, kumtegea bomu chini ya kitanda kiongozi wa Hamas akiwa Iran, Kuwahangaisha kina Yahya kutupia vijiti drone, n.k. ilibidi mabinti wapewe nafasi kupunguza uzito wa mashambulizi.

Jeshi la Israel liliingia na kutoka Iran bila ndege yake hata moja kuguswa, shambulio lilikuwa la awamu tatu kwa idadi ya ndege jumla ya 100, Awamu ya kwanza zilitumwa takribani ndege 35 kuichakaza mifumo ya ulinzi wa anga ambayo kwa kiasi kikubwa ni mitambo ya S 300 ilinunuliwa urusi, baada ya hapo anga likawa wazi, Israel waliingia na kuvilipua viwanda vya drones na makombora

Kuna zile video zinasambaa Ndege za Israel zinatamba kwenye anga la jij kuu la Tehran, Mifumo ya ulinzi imejiwasha inapiga hewa utadhani fataki, Lile sio jambo la kushangilia, Ni matusi makubwa sana yale kwa Iran, Jeshi la Iran liliogopa kutumia marubani wao wapigane na ndege za Israael wamejificha wanategemea mifumo ambayo haikuweza kudungua ndege za Israel, marubani wa wangeamua kufanya chochote Tehran hakuna ambacho kingewazuia.

IRAN IMEKIRI:
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Mifumo ya ulinzi wa anga imeteketezwa
  3. Viwanda cha makombora vimelipuliwa
  4. Viwanda cha drones vimelipuliwa
Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes
Hao tena wa Iran wakiwadaka ndio watawapeleka Israel wamewatundika juu ya Hypersonic zitakazo tu kwenye Israel Knesset 🤣
 
View attachment 3138390
Shura ya Maayatola ikisoma "Albadiri" ili kuzuia F35 zisichome Antenna 😆
View attachment 3138397
alishindwa muham mad aka allah aliye omba Dua mbaya Kwa MWENYEZI MUNGU AWAANGAMIZE WAYAHUDI NA WAKRISTO
👇👇
وَقَالَتِ الْيَهُودُ عُزَيْرٌ ابْنُ اللَّهِ وَقَالَتِ النَّصَارَى الْمَسِيحُ ابْنُ اللَّهِ ۖ ذَٰلِكَ قَوْلُهُم بِأَفْوَاهِهِمْ ۖ يُضَاهِئُونَ قَوْلَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن قَبْلُ ۚ قَاتَلَهُمُ اللَّهُ ۚ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ

[ AT-TAWBA - 30 ]
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
 
View attachment 3138385

Hadi imefikia hatua Israel inatuma watoto wa kike kuishughulikia Iran ni dharau kubwa sana hii.

Lingekuwa ni balaa zito mno wangetumwa wale wazee wa kazi walionyakua helikopta ya Rais wa Iran, kumtegea bomu chini ya kitanda kiongozi wa Hamas akiwa Iran, Kuwahangaisha kina Yahya kutupia vijiti drone, n.k. ilibidi mabinti wapewe nafasi kupunguza uzito wa mashambulizi.

Jeshi la Israel liliingia na kutoka Iran bila ndege yake hata moja kuguswa, shambulio lilikuwa la awamu tatu kwa idadi ya ndege jumla ya 100, Awamu ya kwanza zilitumwa takribani ndege 35 kuichakaza mifumo ya ulinzi wa anga ambayo kwa kiasi kikubwa ni mitambo ya S 300 ilinunuliwa urusi, baada ya hapo anga likawa wazi, Israel waliingia na kuvilipua viwanda vya drones na makombora

Kuna zile video zinasambaa Ndege za Israel zinatamba kwenye anga la jij kuu la Tehran, Mifumo ya ulinzi imejiwasha inapiga hewa utadhani fataki, Lile sio jambo la kushangilia, Ni matusi makubwa sana yale kwa Iran, Jeshi la Iran liliogopa kutumia marubani wao wapigane na ndege za Israael wamejificha wanategemea mifumo ambayo haikuweza kudungua ndege za Israel, marubani wa wangeamua kufanya chochote Tehran hakuna ambacho kingewazuia.

IRAN IMEKIRI:
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Mifumo ya ulinzi wa anga imeteketezwa
  3. Viwanda cha makombora vimelipuliwa
  4. Viwanda cha drones vimelipuliwa
Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes
Huna akili mwanamke Ana mbavu nyingi kuliko wewe usimzalau mkeo au baby wako anaweza toa roho yako any time akipenda
 
Back
Top Bottom