Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,922
- 4,715
Kesho Ni Mwenyekiti wa Chadema Atafikishwa Mahakamani kusomewa mashataka yake Ya Uhani , na Uchochezi
Tunaendelea kulishauri Jeshi La Polisi Kanda Maalum kuendeleza mwendo ule Ule Kuhakikisha Shughuli za Wananchi Zinaendelea Salama na kuepusha wale wenye nia ovu na wanapanga Kuleta Fujo Mahakamani
Week Mbili ziliripotiwa zipo Taarifa za Baadhi ya Wafausi wa Lissu Jina la T 9 kupanga njama za Kuchoma mahakama na Vituo kadhaa vya Polisi.
Tunalisihi Jeshi Letu lisicheke na Kima hasa walipewa ahadi za kupelekwa uhamishoni Nchini Canada, Ubeljiji na Ujerumani ambao ndio wanaongoza vikundi hivyo vya vurugu na uhaini nchini.
GM Upanga Dsm.
Tunaendelea kulishauri Jeshi La Polisi Kanda Maalum kuendeleza mwendo ule Ule Kuhakikisha Shughuli za Wananchi Zinaendelea Salama na kuepusha wale wenye nia ovu na wanapanga Kuleta Fujo Mahakamani
Week Mbili ziliripotiwa zipo Taarifa za Baadhi ya Wafausi wa Lissu Jina la T 9 kupanga njama za Kuchoma mahakama na Vituo kadhaa vya Polisi.
Tunalisihi Jeshi Letu lisicheke na Kima hasa walipewa ahadi za kupelekwa uhamishoni Nchini Canada, Ubeljiji na Ujerumani ambao ndio wanaongoza vikundi hivyo vya vurugu na uhaini nchini.
GM Upanga Dsm.