Ulinzi mkali watanda uwanja wa taifa

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,393
Sijawahi kuona hali hii simba na yanga zikicheza, ni kama kuna shughuli za kisiasa.
Vifaa hizi huwa vinapatikana wakati wa uchaguzi

TFF inasema kuna askari zaidi ya 350 na camera zaidi ya 40 kusimamia ulinzi
 
Hahaaaa hapa nagundua hakuna weledi Bali hisia tuu
Pia sioni kosa kama wameina kuna viashikia vya uvunjifu wa amani.wanatiwa stress
 
Nashukuru leo barabara nyeupee hakuna usumbufu. Leo road ni full kukamua...
 
Hahaaaa hapa nagundua hakuna weledi Bali hisia tuu
Pia sioni kosa kama wameina kuna viashikia vya uvunjifu wa amani.wanatiwa stress
Ingekuwa mkutano wa chadema na wamenusa viashiria vya uvunjifu wa amani wala wasingehangaika kuleta ulinzi bali wangepiga marufuku mkutano wenyewe.....hapa kwa sababu ccm ina maslahi lazima mechi ichezwe ili hela ipatikane.....policcm
 
VP jamni na wema atashabikia simba au yanga????
 
Tatizo hao Wagambo wakiingia uwanjani hawalindi mashabiki wao wanaangalia mpira tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…