Sijawahi kuona hali hii simba na yanga zikicheza, ni kama kuna shughuli za kisiasa.
Vifaa hizi huwa vinapatikana wakati wa uchaguzi
TFF inasema kuna askari zaidi ya 350 na camera zaidi ya 40 kusimamia ulinzi
Ingekuwa mkutano wa chadema na wamenusa viashiria vya uvunjifu wa amani wala wasingehangaika kuleta ulinzi bali wangepiga marufuku mkutano wenyewe.....hapa kwa sababu ccm ina maslahi lazima mechi ichezwe ili hela ipatikane.....policcm