God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,790
- 3,020
katika umri gani?Nilikuwa napunyua tu ikatokea binti ana kitu tayari
mkuu ulipanga au ilitokea tuu sababu mambo hayakua safi? naona umri kwa mimi ni 26At 31.
ulikua umepaga au iliteleza bro? sio mbaya ila uliwahiAt 24,
uliwahi sanaAt 21 nlpata kijana skupanga bt sijutii
ki vipiBahati mbayaa
sawaNimemuomba bwana nangojea
nipe story mkuu mitihani gani ilikusumbua? na vipi bibie uko nae bado?Nilikua na miaka 19 form five nakumbuka ilinitesa nikahangaika sana ilichochea kusoma kwa bidii mpaka Leo Nipo hapa nilipo...
eeeh ulitarajia au ilitokea bahati mbaya?Bint wangu wa kwanza Tumepishana Miaka 17 ilitokea nikiwa Form 3.
uko sahihi mkuu ni jambo jema na la uhakikaNasubiri Neema za Muumba
sasa bro ilipanga au uliteleza maana naona ni mapema kinomaAt 23 nilioa mapema