Nilijifunza kuthamini alichonacho mtu,nikagundua hakuna aliemkamilifu,
..nikajifunza kumwelewa mtu kwa jinsi alivyo,na sio kulazimisha mtu awe kama nitakavyo..relationship yangu ya mwisho imenifunza mengi....haupo nami ila nitakukumbuka daima!
nim ejifunza plan B muhimu saana!
tena iwe stand bye kbs.
yewoomi,pole sana jmn,angalia tu usitumie bastola ukapoteza ur life kw ajili ya mwanamke aliekucheat..wazuri wapo bado