Ulevi Noma jamani

Ulevi Noma jamani

Lubengo

Member
Joined
Jun 5, 2013
Posts
85
Reaction score
24
ImageUploadedByJamiiForums1384603314.701505.jpg
 
Tabu zingine bwana! Kwa mtindo huu,huyu bwana anatafuta stress.
 
attachment.php


Hapo jamaa yupo HoLwood kwenye casino la nguvu na kina PAFU DADI.
 
naona jamaaa kalala kwenye kochi, ngoja pombe ziishe hata amini kuwa amelala hapo
 
Confirmed! Pombe sio chai!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Yawezekana ni Strock,mtu amekufa nyie mnasema pombe! Lakini kama ni pombe jamaa ametia kichefuchefu......
 
daaaa huyu noma,mbona mzigo kaweka juu kama mfuko wa shati...? au wa2 washajilia vyao....!?
 
Back
Top Bottom