ni mekaa nikafikiri mambo magumu na mazito ya kusikitisha yanayo tokea Tanzania nikakumbuka msemo wa yule msanii wetu babariz kuwa anataka kufanya mambo ambayo lazima watu wamkumbuke pindi atakapo acha kujivinjari kwenye lile shamba la bibi, sasa nashindwa kuelewa kama ndio anatimiza ile ahadi na ilani yake au bado tusubirie mazito zaidi ya haya?
:juggle:
:juggle: