ule msemo wa baba riz kuwa anataka kukumbukwa wakaribia kutimia

alisam

Member
Jan 25, 2012
19
2
ni mekaa nikafikiri mambo magumu na mazito ya kusikitisha yanayo tokea Tanzania nikakumbuka msemo wa yule msanii wetu babariz kuwa anataka kufanya mambo ambayo lazima watu wamkumbuke pindi atakapo acha kujivinjari kwenye lile shamba la bibi, sasa nashindwa kuelewa kama ndio anatimiza ile ahadi na ilani yake au bado tusubirie mazito zaidi ya haya?
:juggle:
 
Back
Top Bottom