MUBIKU
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 284
- 388
Kifupi dunia imebadilika mnoo, ukiacha na wenzetu binadamu weupe waliotupita kiasi kikubwa ktk nyanja mbalimbali za kiuchumi, maisha, na ufikiri wa kina.
Sisi watu weusi tumefunikwa na Giza nene la ufikiri, na ubunifu katika maisha anyway hii sio lengo la mada hii.
Kikubwa nataka kusisitiza UKWELI USIO SEMWA ktk maisha hasa ktk maisha yetu kutoka kwenye familia zetu, kwa kifupi sana nitaorodhesha apo chini ili upate nafasi ya kufanya tafakuri;
I/Hakuna mwema kwenye maisha yako
Ii/Utapendwa ukiwa na kitu au manufaa ktk jamii/watu wanao kuzunguka
Iii/ Hata ufanye mema mangapi kosa moja litatumika kufuta fadhila, msaada au yote uliotenda
Iv/Umezaliwa pele ako na utakufa peke ako
V/Pesa inapendwa na kila mtu na ndio nyenzo kuu kukufikisha kwenye malengo na mafanikio yako
Vi/ Kila mtu ni mbinafsi na kwa kila jema au faida anataka ianzie kwake
Vii/ Kwenye maisha watu muhimu ni mama yako, mkeo na watoto wako tu
Viii/ Hasiependa maisha mazuri, gari, pesa , kazi, nyumba , gari nzuri , muonekano kitu chochote kilihi bora kuwa na mke / mume mzuri
Ix/ Kila kitu kinawezekana tatizo tunasikiliza wanao tukatisha tamaa, kutojitambua, jielewa , msimamo au kutothubutu ni swala la muda hakuna lilisilo wezekana
X/ Hakuna aneishi milele tunaishi na kufa mara moja tuu haina haja ya complicate kila jambo.
#Upige mwingi mama, hata Congo, Burundi na kwinginekonwalianza kama sisi#.
Sisi watu weusi tumefunikwa na Giza nene la ufikiri, na ubunifu katika maisha anyway hii sio lengo la mada hii.
Kikubwa nataka kusisitiza UKWELI USIO SEMWA ktk maisha hasa ktk maisha yetu kutoka kwenye familia zetu, kwa kifupi sana nitaorodhesha apo chini ili upate nafasi ya kufanya tafakuri;
I/Hakuna mwema kwenye maisha yako
Ii/Utapendwa ukiwa na kitu au manufaa ktk jamii/watu wanao kuzunguka
Iii/ Hata ufanye mema mangapi kosa moja litatumika kufuta fadhila, msaada au yote uliotenda
Iv/Umezaliwa pele ako na utakufa peke ako
V/Pesa inapendwa na kila mtu na ndio nyenzo kuu kukufikisha kwenye malengo na mafanikio yako
Vi/ Kila mtu ni mbinafsi na kwa kila jema au faida anataka ianzie kwake
Vii/ Kwenye maisha watu muhimu ni mama yako, mkeo na watoto wako tu
Viii/ Hasiependa maisha mazuri, gari, pesa , kazi, nyumba , gari nzuri , muonekano kitu chochote kilihi bora kuwa na mke / mume mzuri
Ix/ Kila kitu kinawezekana tatizo tunasikiliza wanao tukatisha tamaa, kutojitambua, jielewa , msimamo au kutothubutu ni swala la muda hakuna lilisilo wezekana
X/ Hakuna aneishi milele tunaishi na kufa mara moja tuu haina haja ya complicate kila jambo.
#Upige mwingi mama, hata Congo, Burundi na kwinginekonwalianza kama sisi#.