Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 660
- 1,290
Wajisikiaje na hali dogoHii kitu waiachie Simba
Wajisikiaje na hali dogoHii kitu waiachie Simba
Mwasibu wa mchongoView attachment 2917067
Acheni kunipigia kelele
Ana gundu baya sanaNachompendea mwasibu akisema kitu ni vice versa
Simba sasa hivi anafanya maombi, Yanga ameshafuzuHii kitu waiachie Simba
Mandojo na DomokayaTusiongopeane wala kufarijiana kinafki ukweli ni kuwa mechi rahisi kwa Yanga ilikuwa ni hii
Kujipa hope kuwa utapata matokeo kwa Cr Belouzidad binafsi nafasi ya hilo kuwezekana naiona ni finyu sana.
Hata wenyewe sidhani kama wana hayo matarajio kwa asilimia kubwa. Focus ya Yanga kwa saizi naona ni bora kuweka nguvu kwenye NBC
AU SIOMwarabu nibakie Utopolo mpaka apate maradhi
Wanok nok Ft Lady JaydeeMandojo na Domokaya
Mcha mbuzi feki, unajisikiaje kwa sasa baada ya huu uchambuzi wako uchwara!!Twende kimahesabu tuache uchale, Yanga ana points 2, amebakisha mechi 2 za nyumbani, mwarabu na Medeama na anamalizia kwa Al Ahly.Anaweza kumfunga Medeama na mwarabu hapa nyumbani lakini kule Misri labda sare, akijitahidi saaaaana, hiyo sare yenyewe labda mwarabu awe amefuzu na mechi moja mkononi, otherwise tusidanganyane.
Al Ahly ana point 5 tayari, anamsubiri Yanga nyumbani, anatakiwa aende Ghana kwa Medeama na aende Algeria kwa mwarabu mwenzake, ina maana ana mechi 1 tu nyumbani na Yanga, mechi 2 anatoka nje.
Medeama ana mechi 1 nyumbani nayo ni dhidi ya Al Ahly, mechi 2 anatoka kwenda kwa Yanga na Mwarabu wa Algeria yaan CRB.Yanga iombe Medeama ifungwe na Al Ahly nyumbani ili ikapate unafuu kule Misri ila Al Ahly akifungwa pale Ghana, iwe jua iwe mvua lazima akoge kule Misri.Hata mkatoe misaada kwa yatima wote kule Misri kufa ni haki yenu.
CRB ana pointi 4 ss hv baada ya kusare nyumbani kwa Al Ahly leo, anamsubiri Medeama na Al Ahly kwao, kwa Medeama atachukua 3 atakuwa na saba, atachukua 1 au 3 kwa ahly ameshafuzu huyo.
Yaani no way out, Yanga lazima amfunge CRB na Medeama hapa kwa Mkapa vinginevyo ameyaaga mashindano abaki asubiri kucheza na akina Mashujaa na Ihefu na uchale mwingi nje ya uwanja.Semaji lenu lenye rangi nyeupe lilishasema mechi kule Ghana ni ngumu na michuano hii ni migumu jamani, haya mwenzenu mliyempiga 4 anacheza kesho.Kila la heri.
Chambuzi uchwara lingine hili hapa. 😁Tusiongopeane wala kufarijiana kinafki ukweli ni kuwa mechi rahisi kwa Yanga ilikuwa ni hii
Kujipa hope kuwa utapata matokeo kwa Cr Belouzidad binafsi nafasi ya hilo kuwezekana naiona ni finyu sana.
Hata wenyewe sidhani kama wana hayo matarajio kwa asilimia kubwa. Focus ya Yanga kwa saizi naona ni bora kuweka nguvu kwenye NBC
Bado unashikilia hii au unabadili maneno?Kwanza ktk hilo group UTOPOLO ndio kibonde.. yaan team zote zinamtolea macho yeye wachukue points hapo.