KyemanaMugaza
JF-Expert Member
- Jan 7, 2025
- 270
- 415
INASEMEKANA WANAWAKE HAWAELEWEKI NA WANACHO KITAKA KWA WANAUME
Inasemekana kuwa wanawake hawajui kile wanachokitaka kutoka kwa wanaume. Ukiwa na pesa, atakuchiti kwa sababu ya muda; ukiwa na muda, atakuchiti kwa sababu huna pesa; ukiwa na nguvu, atakuchiti kwa sababu haujakuwa romantic.
Je, haya maneno ni ya kweli?
MWANAUME NAYE INASEMEKANA HAELEWEKI PIA
Ukiwa na umbo la “tako,” atataka mrembo mweupe, lakini ukiwa mweupe atakuchiti kwa sababu ya joto. Ukiwa na joto, atachiti kwa sababu hujui kuongea jinsi anavyotaka. Anasahau kuwa hakuna mkamilifu. Basi, mambo yapo hivyo!
NINI SHIDA HASA KWENYE HILI SWALA?
Inasemekana kuwa wanawake hawajui kile wanachokitaka kutoka kwa wanaume. Ukiwa na pesa, atakuchiti kwa sababu ya muda; ukiwa na muda, atakuchiti kwa sababu huna pesa; ukiwa na nguvu, atakuchiti kwa sababu haujakuwa romantic.
Je, haya maneno ni ya kweli?
MWANAUME NAYE INASEMEKANA HAELEWEKI PIA
Ukiwa na umbo la “tako,” atataka mrembo mweupe, lakini ukiwa mweupe atakuchiti kwa sababu ya joto. Ukiwa na joto, atachiti kwa sababu hujui kuongea jinsi anavyotaka. Anasahau kuwa hakuna mkamilifu. Basi, mambo yapo hivyo!
NINI SHIDA HASA KWENYE HILI SWALA?