chadema inang'ara ktk mkoa wa kigoma.hapa niko mjini kigoma, jana tumepokea watu 10 kutoka ccm wakazi wa mlole, wamejiunga na cdm.hakuna ari yoyote kigoma kusambaratika cdm bali kuongeza wanachama.ZITTO ametuachia pakuanzia nasi tunaendeleza. kwa lipi cdm isambaratike?. subilini 2015 mtajionea. hivyo watu waache kuzusha kuwa cdm imesambaratika kgma