Ukimchukua kwa gari lako binafsi, ukampeleka Mlimani city akafanya shoping halafu ukalipia wewe... Ukamaliza ukamrudisha kwao atakwambia.
"SEE YOU BABY TAKE CARE!! Ukifika pliz call me eeh!"
Ukienda kwa daladala, huna mkwanja maneno mengi tu....
Ukishaaga naye atakwambia.
"KWAHERI MWAYA!"
**Duh! Wadada wa mjini hawatemi kiingereza burebure... Na baby nayo haiitwi hovyohovyo
"SEE YOU BABY TAKE CARE!! Ukifika pliz call me eeh!"
Ukienda kwa daladala, huna mkwanja maneno mengi tu....
Ukishaaga naye atakwambia.
"KWAHERI MWAYA!"
**Duh! Wadada wa mjini hawatemi kiingereza burebure... Na baby nayo haiitwi hovyohovyo