kuna Gentleman wengi sana, sema maisha yanawapiga wanawake hawawataki kabisa.. na kuna wahuni wengi sana ila maisha yamewanyokea wanawake wanawagombania... pia kuna nice guy na maisha yamenyooka.. hao ndio wanawake wako tayari waende kwa mganga wawapate, na kuna bud guys na maisha yao mabovu.. kama mateja au panya road.. hao hata salamu ya wanawake hawaipati..
wanawake ukiwa na source ya income ya uhakika.. kwamba yeye na watoto atakaowazaaa watakula bata.. hapo uwe bad guy au nice guy... watakupenda tu
Sasa ole wako uwe bad guy halafu hela huna.. maisha hayaeleweki,,,, hata salamu zao uzipati..
Mkuu ishi sio kujiatach kwako, anaweza kukuganda kwa security reasons lakini huku nyuma wahuni wanatafuna mzigo. Alafu weye akawa anakuektia tu.

