Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 3,987
- 13,016
Huu ndio ukweli halisi, ukiondoa wale matapeli na "wasiojulikana"
Haiingii akilini Msichana mzuri (kwa mujibu wa vigezo mnavyoorodhesha) ukose mchumba au mume kwenye hadhira inayokuona na kukuzunguka.
Kuja kwako huku kwa tusiokuona ni kutuambia kuwa wewe ni "Kimeo" umeshindwa kuuzika kwa jamii inayokuzunguka.
Haiingii akilini Msichana mzuri (kwa mujibu wa vigezo mnavyoorodhesha) ukose mchumba au mume kwenye hadhira inayokuona na kukuzunguka.
Kuja kwako huku kwa tusiokuona ni kutuambia kuwa wewe ni "Kimeo" umeshindwa kuuzika kwa jamii inayokuzunguka.