Ukweli mchungu: Lowassa ameshatoswa na CCM


My friend; tafadhali sana tofautisha "The real from the Ideal!!"; if wishes were horses; each and everyone of us would ride ONE!!
Wataongea mpaka mpaka mapovu yawatoke; watajipandisha mori na kujitia ukakasi; lakini katika uteuzi wa mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Majambazi (CCM); read my lips; Edward Ngoyai Lowasa is the man to beat !!!

Vinginevyo; tuanze sasa kuandika "Tanzia" ya CCM; na maandalizi ya kuikaribisha jamhuri ya pili ya Tanzania

Freedom is comming tommorow; Let freedom reign; Aluta continua.
 
Lowasa hawezi kuteuliwa kugombea Urais kwa tiketi ya CCM labda huko UKAWA anakopanga kwenda

Ukiendelea Na Hizi Siasa Zako Za Maji Taka. Ntakuweka Hadharani. Jina Lako,Namba Zako Za Simu,Mtaa Unaoishi, Pamoja Na Namba Ya Nyumba Unayokaa. Umekuwa Ni Mchochezi,Mnafiki,Na Mtu Hatari Sana Kwa Amani Ya Nchi Hii. Jaribu Kujirekebisha Mara Moja,La Sivyo Ntakuumbua Humu Jf
 
jiandae kisaikolojia....
 

Ndivyo ilikuwa inaonekana kabla ya mwaka huu kuanza, lakini mashambulizi haya yanaashiria kuna kitu nyuma ya pazia! Na nakwambia hakuna bahati mbaya kwenye siasa, kila kitu huwa kimepangwa.
 
Kwani Lowasa alishawahi kuwa msafi tangu lini.
 
Ni wale tu doubting Thomas ndio mpaka leo wanafikiri kwamba Lowassa atapita kizingiti cha CC ya CCM.

Ukweli mchungu ni kwamba mwisho wa ndoto ya matumaini ya Lowassa ni CC ya CCM. Hapo ndipo jina lake na majina mengine ya wana-CCM yatakapochinjiwa baharini.

Lowassa ameshaanza ku sense hilo na ndiyo chanzo cha vurugu zote hizo kuitisha CC ya CCM.

TEAM LOWASSA nawashauri waanze kutafuta ushauri nasaha, ili CC ya CCM itakapochomoa PANGA LAKE ALANI wasije wakafa kwa KISEBUSEBU NA KIHORO PAPO.
 
Mbona mgombea wa CCM 2015 Yupo wazi tu,,, Mgombe ni BENARD MEMBE,,, Lowassa kiukweli kikwete kesha msaliti siku nyingi,,
Katika watu wenye uwezo mdogo kabisa mmojawapo ni Membe! CCM wakitaka ianguke wamuweke MEMBE!
 
Edo anawatoa watu jasho balaa, hazuiliki huyu jamaa. Ni muda wa maamuzi magumu.
 
Lowasa atakapo gombea urais ameua chama hata kama ni upinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…