Ukweli kuhusu ukweli!!!!

sir mood

Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
66
Reaction score
51
1.je ukweli ni nini?
2.ukweli ni UPI?
3.kwanini asilimia kubwa ya watu wanaojaribu kutafuta ukweli huishia pabaya(ama huko ndo mahala sahihi pa watafuta ukweli??)
4.je dini zetu,serikali zetu,tamaduni zetu nk zimejengeka katika ukweli???
4.je ukweli una maana katika jamiii??
5.je ukweli unajenga ama unabomoa jamiii husika??
6.je ukweli unanafasi katika maisha ya mwanadamu ??
7.je kuna haja yakuishi katika ukweli??
Haya ni baadhi ya maswali ambayo Mara kwa Mara nimekuwa nikijiuliza nakujikuta bado sina majibu....hebu tujadiliane kidogoo wadau
 
Ukiongea ukweli ...juu ya serikali..ujuwe you keep ur life in danger zone..

ukiongea ukweli juu ya dini yako kama wewe ni muislam ..unaitwa Gaidi.

Ukweli unabid ukae nawo moyoni mwako.
 
Hapo kwenye dini ukweli inabidi usemwe tu bila kujali kuitwa gaidi, kwa wakristo, Kati ya vitu vilivyomfanya Yesu asulubiwe ni ukweli ambao wayahudi wengi walikuwa hawataki kuusikia,

Huko serikalini inabidi utafute hela jiimarishie ulinzi, anza kukosoa ili kuepuka kufa kizembe
 
Napenda ukweli na nachukia uongo lakini mara nyingi nimejikuta katika wakati mgumu nikiutaka, kuusema au kuutetea ukweli.

Hivyo inaonekana ukweli sio kitu kidogo kwakweli.
 
Napenda ukweli na nachukia uongo lakini mara nyingi nimejikuta katika wakati mgumu nikiutaka, kuusema au kuutetea ukweli.

Hivyo inaonekana ukweli sio kitu kidogo kwakweli.
Pengine world principles hazijajengwa kwenye misingi ya ukweli na pengine ukweli hauhitajiki duniani...yani sielew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…