Ukweli kuhusu tendo la ndoa

Ukweli kuhusu tendo la ndoa

Labda tuulize wazama chumvini nao wachangie watakua wanajua kuhusu ladha za papuchi" naamini zinatofautiana
 
demu akiwa mkali,hautumii nguvu kuiweka sawa hiyo saikolojia.
 
sasa hio hali unayoipata mtu wakati wa kujaaminiana huwa ni kama dk moja hv ila mvuta unga anakuwa na hali hio ya kilele kwa muda wa kama nusu saa hivi ndio maana ukianza tuu sembe huachi
 
Hapo kwenye papuchi nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani.hizo ni special case
Hapo mwanzo maelezo yako umeyafanya kwa ujumla sana, kila mwanamke na radha yake na kila mwanaume na radha yake. Radha inatofautiana kulingana na maumbile ya mwili wa ke au me na uzalishwaji wa vilainishi ndani ya ke na ukichangiwa na hisia na nyakati za mama katika mwandamo wa mambo ya kike. Hawa watu wako tofauti sana usidanganye
 
Ngoja siku choo yako ifunge hata siku tano tu ndio utaelewa namanisha nini.ndio maana tunaita kujisaidia maana yake kutua mzigo.ukiwa umebanwa na haja huwi comfortable ni sawa na kushikwa na nyege ukipiga bao unajisikia raha.
Kaboom,
Usimwelewe vibaya ila ukweli ni kwamba waweza kujikuta katka hali mbaya sana. Mfano, upo ugenini, ghafla hisia zikaja kuwa lazima uutue mzigo. Ukaanza kuzungusha macho kulia kushoto. Huoni ofisi, unapozidi kumsubiri mwenyeji, miguu utaibana tu.
Ukiiona ofisi, nakuambia hakuna raha kama hiyo unapo chuchumaa mzigo ukashuka.
hahahaha kwani husikiagi raha wakati wa haja wewe au kila wakati unapataga kile kigumu
Teh teh..Ukiona unasikia raha wakati wa kujisaidia jua kwamba genye zimehamia nyuma..Hakuna maelezo mengine zaidi ya hayo
 
Teh teh Kaboom kwani hata kukojoa si kujisaidia ?? Ujawahi panda bus halafu dereva hataki kusimama mchimbe dawa mpaka sijui afike anapotaka yeye ??
Teh teh..Uncle huyu anamaanisha ile kubwa..Licha ya hivyo ukijisikia raha wakati wa kukojoa sio tatizo..lol
 
Unaposema kuwa Masikini na Matajiri wanaipata bila shida, Si kweli.
Masikini hadi upate una-struggle sana!
 
Njoon huku nyie sasa mkitaka kujua utam mnao mwenyewe..... wapiga puli njoon apa. Iv mnavojiskrach mpaka mnapiga mayowe ule utam unatokea wapi?????
 
KILA SHIMO NA UTAMU WAKE.... teh teh wengine wakiwa wanatoa bao wanajamba kabisa.....
 
Njoon huku nyie sasa mkitaka kujua utam mnao mwenyewe..... wapiga puli njoon apa. Iv mnavojiskrach mpaka mnapiga mayowe ule utam unatokea wapi?????
Utamu wanaume tunao wenyewe, kwa mwanamke huwa tunataka utelezi tu.

Kwa kua utamu upo ukipata utelezi wa aina yoyote iwe sabuni au mafuta au wa maanamke unakuja wenyewe.
 
KILA SHIMO NA UTAMU WAKE.... teh teh wengine wakiwa wanatoa bao wanajamba kabisa.....
Hii ni kweli kabisa.wengine wanazimia kabisa.Malawi kuna mtu alikufa kwa kuzidiwa na utamu.
 
Njoon huku nyie sasa mkitaka kujua utam mnao mwenyewe..... wapiga puli njoon apa. Iv mnavojiskrach mpaka mnapiga mayowe ule utam unatokea wapi?????
Puli sio nzuri mkono ni mgumu kuliko uke.msuguano wa uke ni tofauti na mkono
 
Nimetoka na hiki tu " ....hakuna mwanamke mtamu kuliko mwingine..."

Hili dodoso au utafiti?!
 
Back
Top Bottom