Mkuu mimi ni mwanasimba na nitakueleza yaliyosemwa na makamu m/kiti wa Simba jana wakati akiongea kwenye kipindi cha michezo cha magic radio, Kaburu alisema Okwi alifanya majaribio na timu ya Austria na ikaonekana amefanya vizuri na kilichobaki ni kwamba kama timu ile wataamua kumchukua watafanya mawasiliano na Simba na kama watafikia makubaliano Simba itamwachia aende zake Ulaya, wakati wote huo akisubiri dili kukamilika atakuwa na timu yake ya sasa ya Simba na kama dili halitakamilika ataendelea kuitumikia timu ya Simba mpaka mkataba wake utakapoisha mwishoni mwa ligi msimu ujao.Jamani kuna ndugu yangu(Simba damu) anakaribia kuchanganyikiwa huku.
Hebu nisaidieni habari za uhakika, Okwi ka-sign Yanga kweli? au kama ni uzushi, ukweli ni upi?
Heshima kwenu.
Mkuu mimi ni mwanasimba na nitakueleza yaliyosemwa na makamu m/kiti wa Simba jana wakati akiongea kwenye kipindi cha michezo cha magic radio, Kaburu alisema Okwi alifanya majaribio na timu ya Austria na ikaonekana amefanya vizuri na kilichobaki ni kwamba kama timu ile wataamua kumchukua watafanya mawasiliano na Simba na kama watafikia makubaliano Simba itamwachia aende zake Ulaya, wakati wote huo akisubiri dili kukamilika atakuwa na timu yake ya sasa ya Simba na kama dili halitakamilika ataendelea kuitumikia timu ya Simba mpaka mkataba wake utakapoisha mwishoni mwa ligi msimu ujao.
Kuhusu kusaini Yanga bado watu wanaendeleza rumors na wengi wanasema yasije yakawa kama ya Waso tuliambiwa anaenda ubeligiji baadaye akaibukia jangwani.
Kwa maoni yangu kwa sasa tumwamini kwanza makamu m/kiti kwa kauli ambayo nimeieleza hapo juu na kama wanasimba tuacheni na tetesi za yeye kwenda Yanga lakini uhakika ni kwamba yeye bado ana mkataba na Simba hadi mwakani.
Mzee Akilimali ameshasema kuna mchezaji Yanga itamsajili watu watashtuka sana/hawataamini...wapo watakaochanganyikiwa kama ndugu yako na wapo watakaoingia kwenye siku zao kabla ya wakati wao kama Cras(...)
ha ha ha ha ha vijana wangekuwa wana uwezo wangekuroga.. yaani wanisi kufa kufa kila wakifikiria okwi ndani ya uzi wa njanoMzee Akilimali ameshasema kuna mchezaji Yanga itamsajili watu watashtuka sana/hawataamini...wapo watakaochanganyikiwa kama ndugu yako na wapo watakaoingia kwenye siku zao kabla ya wakati wao kama Cras(...)
ha ha ha ha ha vijana wangekuwa wana uwezo wangekuroga.. yaani wanisi kufa kufa kila wakifikiria okwi ndani ya uzi wa njano
Kama Mrisho Ngassa?????!!!!Hivi simba ni Okwi tu hakuna wachezaji wengine wa kuibeba timu, mtaaza visingizio kuwa tulikula tatu kutoka kwa azam kwa sababu Okwi hakuwepo, tumekosa kagame kwa sababu ya Okwi, ya nini kulazimisha mchezaji ambaye hana mahaba na simba