Travis Walker
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 323
- 335
1. Unaempenda kamwe hatokupenda bali atakudanganya.
2. Anaekupenda kweli utampotezea na utamkimbilia mwenye maumivu na mateso.
3. Ukihitaji furaha kutoka kwa unaempenda mara nyingi huishia maumivu.
4. Upendo wa kweli ni kujipenda mwenyeo maana hakuna atakae kuumiza.
5. Ni kweli mapenzi huwa matamu lkn mwanzoni kwasababu kila mmoja hujipamba na kila zuri.
6. Wanaopenda kweli kutoka ndani nyoyo zao huishia utumwani kwenye mapenzi.
7. Ukitaka kuonekana mjinga zaidi basi toa machozi na ulie kwa ajili ya mapenzi ingawa uko sahihi maana dalili ya moyo kuuma ni kilio.
8. Unapojaribu kuwa mwaminifu na mkweli kwenye mapenzi watu hukuona mshamba.
9. Ni kweli sisi binaadamu hutambua thamani ya kitu baada kutoweka. Lakini pia hutamani ambavyo havijatufikia.
10. Kulala na mwanamke ni kuridhisha matamanio, kukubali kuumia kwa ajili ya mtu ndio kupenda.
11. Binaadamu alivyokuwa si wa shukran akipendwa hufanya yanayochukiza, akipuuzwa hujipendekeza.
12. Ukiona watu wanakusifu kwasababu ya uzuri fahamu wanataka kusambaratisha furaha yako maana sisi watu tunapenda kuteketeza yaliyo jipamba.
13. Watu wa dunia ya sasa tunanunua mapenzi watu wa zamani walishibana kwa amani.
14. Usimuamini mwanamke hata kwa uchache maana akili zake ni matamanio.
15. Usimtese mwanamke kwasababu wana nyoyo za huruma kwa maana walitubeba miezi tisa bila ya kulalamika.
Written by @Travis Walker
2. Anaekupenda kweli utampotezea na utamkimbilia mwenye maumivu na mateso.
3. Ukihitaji furaha kutoka kwa unaempenda mara nyingi huishia maumivu.
4. Upendo wa kweli ni kujipenda mwenyeo maana hakuna atakae kuumiza.
5. Ni kweli mapenzi huwa matamu lkn mwanzoni kwasababu kila mmoja hujipamba na kila zuri.
6. Wanaopenda kweli kutoka ndani nyoyo zao huishia utumwani kwenye mapenzi.
7. Ukitaka kuonekana mjinga zaidi basi toa machozi na ulie kwa ajili ya mapenzi ingawa uko sahihi maana dalili ya moyo kuuma ni kilio.
8. Unapojaribu kuwa mwaminifu na mkweli kwenye mapenzi watu hukuona mshamba.
9. Ni kweli sisi binaadamu hutambua thamani ya kitu baada kutoweka. Lakini pia hutamani ambavyo havijatufikia.
10. Kulala na mwanamke ni kuridhisha matamanio, kukubali kuumia kwa ajili ya mtu ndio kupenda.
11. Binaadamu alivyokuwa si wa shukran akipendwa hufanya yanayochukiza, akipuuzwa hujipendekeza.
12. Ukiona watu wanakusifu kwasababu ya uzuri fahamu wanataka kusambaratisha furaha yako maana sisi watu tunapenda kuteketeza yaliyo jipamba.
13. Watu wa dunia ya sasa tunanunua mapenzi watu wa zamani walishibana kwa amani.
14. Usimuamini mwanamke hata kwa uchache maana akili zake ni matamanio.
15. Usimtese mwanamke kwasababu wana nyoyo za huruma kwa maana walitubeba miezi tisa bila ya kulalamika.
Written by @Travis Walker