Nina babu yangu, ndugu zangu huwa wananipa story na hata yeye mwenyewe ameniambia kwamba ameanza kuvuta sigara akiwa na miaka 17 na sasa ana miaka 82 ila hajawah kuumwa kifua wala mapafu na anavuta sigara kweli kweli.
Juzi nilikua nipo nae tunaangalia mechi ya Real Madrid, toka mechi inaanza hadi inaisha alimaliza paketi moja ya embassy nikimshuhudia kwa macho yangu na huyu babu yangu kwake kuvuta pakiti moja ya sigara kila siku ni kitu cha kawaida mnooo!!!!!
Hapa nathibitisha uvutaji wa sigara si hatari kwa afya yako.
Juzi nilikua nipo nae tunaangalia mechi ya Real Madrid, toka mechi inaanza hadi inaisha alimaliza paketi moja ya embassy nikimshuhudia kwa macho yangu na huyu babu yangu kwake kuvuta pakiti moja ya sigara kila siku ni kitu cha kawaida mnooo!!!!!
Hapa nathibitisha uvutaji wa sigara si hatari kwa afya yako.