Ukweli kuhusu fedha za Kagera

Wewe ni mpuuzi basic needs za binada unazijua vizur

Mkuu;
Naona hapa mpuuuziii ni weye. Usishambulie wenzio wakati hujui usemacho. Swali la kujiuliza hapa ni kwamba; Hiyo miundo mbinu ndo ilitakiwa kujengwa kwa hizo fedha za maafa?? Fedha ziliombwa kwa kuwa barabara za Kagera zimeharibiwa na tetemeko?? Kwa nini waliweka watu na majumba yao yaliyo anguka badala ya kuweka mashule na miundo mbinu tu iliyo haribika??
Nataka nikuambie kuwa; Watu tulichanga kwa sababu ya watu (Live) sio miundo mbinu. Bila hao watu, hiyo miundo mbinu ya nini na ni kwa ajili ya nani??
Hata waseme nini, lakini ukweli utabaki kuwa, Rambi rambi za watu zimeliwa. Kusema zimetumiwa kujenga majengo sidhani hiyo ni rambi rambi. Tuyaweke mambo sawa
 
Mtoa hoja ni maana ccm na ni mtu ambae hana huruma na binadamu wenzake namrudisha form one what are the basic need for human being ulikua hilo ndo utajua akili yako haina akili boya wewe watanzania walitoa hela zao kwaajili ya wahanga nakumbuka kwenye uongozi wa kikwete kulitokea mafuriko dar kikwete alitoa viwanja mabwepande na misaada mwingine iweje kwa huyu
 
Ttazo ushabiki mwingi humu NA CHUKI NA UZEMBE WATU KUTOTAKA KUJIBIDISHA KUFANYA KAZI KUJILETEA MAENDELEO WAKIBAKI KUISUBIRI SERIKALI......Wangejengewa hawa na KESHO wapo wengne wangetaka kujengewa.......HIVYO HII INGEKUWA NI SERIKALI YA KUJENGEA WATU....
 
Eti miundo mbinu ya serikali!!! serikali ni mdudu gani anajijengea miundo mbinu kwa matumizi na faida yake? Hivi serikali inagua kipindupindu mpaka itumie huduma za afya katika hospitali iliyo ijenga?

Na washawasha!



Mkuu hiyo michango ni ya dharura kwa ajili ya kusaidia wahanga wa tetemeko na wakati tunachanga tuliambiwa hivyo, serikali ina mfuko wa majanga kwanini isitoe huko fedha kujenga hizo miundo mbinu ya serikali achilia mbali kodi tunalipa.

Miaka kadhaa tuliona tetemeko lilitokea HAITI na michango iliyotolewa ilielekezwa kusaidia wahanga na sio kuzijengea barabara wala shule
 
Back
Top Bottom