Ni kweli mzee Slaa aachwe apumzike ili atafakari upya maisha yake ya kisiasa. Akishatafakari nadhani atakuja na majibu sawia. Tuache kumuwekea maneno mdomoni tumsubiri aje mwenyewe kuzungumza.
Ni mtu mjinga tuu ndio unaweza kumkataa El na naweza sasa kusema Dr. ameonesha ubinafsi wa hali ya juu labda ndio tuaanza kumtambua aina ya viongozi tunaowaamini. Padre anakuwaje na moyo mgumu namna hii kusamehe?
Lakini maamuzi yaliyofanyika ni kidemocrasia maana ni ya wengi lakn namshangaa Slaa kukomalia msimamo wake mwenyewe. Dr. alipokelewa kama lowassa baada ya kukatwa ka alivyokatwa lowassa.
Hii ndio inadhiirisha hakuna aliye juu ya chama wanachama wamesema mpokee lowassa katibu pekee aseme asipokelewe huu msimamo haukubaliki anapaswa abadilike.
1. Hao wanaoeda kumuona hawafungulii sasa watamediate saa ngapi?
2. CHADEMA sio kitengo cha maaskofu wa katoliki hivyo hizo jitihada za kumpeleka Italy zinakihusu vipi Chadema?
3. Hivi mnajua maana ya wengi wape? Sasa mtu anapogeuka mungu mtu ndipo anapopuuzwa
4. Na sasa rangi halisi ya huyo mnaemwita mchumba/mke ndipo inapoonekana kama Mumewe angekuwa Rais kuna siku angemfungia ndani hivyo hivyo muanze kutafuta wanawake wa kwenda kumshauri mke ali aongee na mumewe
5. Hivi aliyesotea chama ni yeye peke yake?
6.Wale waliopata kusikia habari za vita wakati mwingine askari akiwa vitani anapojeruhiwa na kutoonesha matumaini ya kupona huwa anauliwa sio kwa sababu hakuwa na mchango bali ni kwa mstakabali wa kushinda vita
7. Ifike mwisho tusiendekeze miungu watu. Wengi wape ndio utaratibu katika kufikia mwafaka wa makundi
Soma kilichoandikwa, uelewe na kisha uchangie.Mtu asiye na price tag ni Dr na Mnyika tu..wengine wote wameshakalishwa
Kati ya watanzania ambao ni ngumu kumuingia kwa hongo ni Mh Tundu LISSU ukiachlia mbali Dr Slaa na Mnyika!
Tundu LISSU ni aina ya binadam ambaye tokea maisha yake ameshajiapiza kutopokea wala kutoa Rushwa, huyu ni mtu ambaye anaamini zaidi katika midingi ya haki zaidi.
Kuna propaganda zinaenezwa kwamba eti Mh LISSU amepokea shi mil180 ili kukubali kumpokea Lowassa! Ningweza kusema kwamba kama vigingi vigumu kuviingia kwa Rushwa ni pamoja na Mh LISSU, Tuache kuudanganya umma kama mtu humfahamu LISSU ni bora ukae kimya tu! Hiki Kichwa nilishawahi kukaa nacho kimajukumu mbali mbali ya kijamii Namfaham vizuri huwezi kuniambia kitu juu yake.Ni mtu mwenye misimamo ya ajabu juu ya nadhiri zake, Naye ni binadamu ana madhaifu yake lakini kuja na propaganda eti amehongwa Mil 18 ni blaa blaa tu tusipende kuchafua watu kwa sababu zisizoeleweka!
Kati ya watanzania ambao ni ngumu kumuingia kwa hongo ni Mh Tundu LISSU ukiachlia mbali Dr Slaa na Mnyika!
Tundu LISSU ni aina ya binadam ambaye tokea maisha yake ameshajiapiza kutopokea wala kutoa Rushwa, huyu ni mtu ambaye anaamini zaidi katika midingi ya haki zaidi.
Kuna propaganda zinaenezwa kwamba eti Mh LISSU amepokea shi mil180 ili kukubali kumpokea Lowassa! Ningweza kusema kwamba kama vigingi vigumu kuviingia kwa Rushwa ni pamoja na Mh LISSU, Tuache kuudanganya umma kama mtu humfahamu LISSU ni bora ukae kimya tu! Hiki Kichwa nilishawahi kukaa nacho kimajukumu mbali mbali ya kijamii Namfaham vizuri huwezi kuniambia kitu juu yake.Ni mtu mwenye misimamo ya ajabu juu ya nadhiri zake, Naye ni binadamu ana madhaifu yake lakini kuja na propaganda eti amehongwa Mil 18 ni blaa blaa tu tusipende kuchafua watu kwa sababu zisizoeleweka!
Naona huelewi kitu!:behindsofa: hebu ona aibu kidogo.