Ukweli kuhusu Dr. Slaa

tatizo mbowe ameweka pesa mbele

Ili tuwe Wazalendo wa kweli ktk nchi yetu hii Tanzania, tunapaswa tuwe wakweli.

Inaweza kuwa ni kweli kuwa mh. Mbowe akawa kapewa kweli pesa mnazomtuhumu, lkn kusema ukweli, hayupo mwenye ushahidi kwa hayo myasemayo au mnayomnenea huyo. Lkn najiuliza, mbona hatuongelei zile fedha zilizokamatwa kule Dodoma, kule Kilimanjaro, kule kwa Nape na sehemu nyingine nyingi zinazowahusu maccm?

Au ni kwa vile nadhani, uozo huo ukitendeka ndani ya ccm ni mafuta tena yenye harufu nzuri kwa wahusika; isipokuwa hata pale ambapo hatuna ushahidi ili mradi tu tumefikiria hivyo yakiwa nje yetu, ndo tunakuwa na ujasiri wa kusema tu tunavyoweza?

Tuweni wakweli hata yale tunayoyafanya sisi wenyewe, kama kweli tunachukia masuala yote ya rushwa?

Tena mbona hatuongelei zile ngumi tulizotwangana kila kona ya nchi wakati wa zoezi la kura za maoni lililofanyika trh 01/08/2015?

Poleni sana!
 
Mwandishi wa makala hii ni mwongo sana! Kaandika sanaaaa mwishowe anajifanya kutoa ushauri kwa CHADEMA! Kama hamjui watu wanaotumika kijanja ni pamoja na huyu mwandishi, Anaandika kwa kuponda na kulalama sana eti mwishowe anajifanya ana uchungu na CHADEMA! Kweli?
Mbona kuandika kote huku pamoja na yeye kua mwanachama wa CHADEMA hatuoneshi chanzo cha kuaminika cha taarifa zake? Hivi ni mtu unahitaji kua na akili ya namna gani ili kutambua kua huyu mwandishi anatumiwa?
Katika kitu kilichonisikitisha sana sana ni kusema hadi "TUNDU LISSU naye amehongwa mil 180" LISSU naye ni binadamu ana madhaifu yake lakini ni kati ya watu Wagumu sana kuhongeka Tanzania hii ukimwacha Dr Slaa na Mnyika.Nimjuavyo LISSU mimi kote nilikokua naye karibu na hata kwenye majukumu ni binadamu aliyekwisha kujiapia hawezi kupokea wala kutoa hongo katika maisha yake yote.Ya Mbowe, Msigwa, Lema na Salim Mwalimu siyajui lakini kwa LISSU tungeni uongo mwingine hata kama ni kweli kuna sintofahamu juu ya CHADEMA na Dr Slaa.
 


Umeongea kwa hekima na busara sana mdau humu kuna ushabiki sana ambao hata haueleweki mwanzo wake na mwisho wake sijui tumerogwa na nani
 
‎HABARI‬ DR. SLAA AMEPEWA LIKIZO IKISHA ATAUNGANA NA CHADEMA - MBOWE
Katika mkutano wa Baraza kuu la CHADEMA unaoendelea hivi sasa, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman MBOWE amesema hakuna ugomvi na Dk. SLAA, amepewa likizo na ikiisha ataungana nao baadaye ili shughuli za Chama ziendelee.
Mbowe- Tumekubaliana Dr SLAA apumzike kwa muda na atakapokuwa tayari ataungana nasi mbele ya safari
Mbowe- Chama hiki hatukiendeshi kwa siri, tunakiendesha kwa mikakati.
Mbowe- Tulilazimika kutumia kila mbinu halali ambayo inakiwezesha chama chetu kusaka matumaini na matarajio ya wananchi.
Mbowe- Tuliridhika pasipo shaka kwamba ugeni wa Edward Lowassa katika chama chetu ni mpango wa Mungu.
Mbowe- Umoja wetu ndio ushindi, fursa iliyojitokeza ni nadra.
Mbowe- Mtikisiko huu umekuja kwa CCM kipindi ambacho Watanzania wanamatamanio ya mabadiliko
Mbowe- Hatuwezi kuwa chama cha kuendelea kuhubiri mabaya ya jana tukashindwa kuhubiri maendeleo ya kesho
Mbowe- Kipigo wanachopata CCM, hawajawahi kukipata tangu tuanze siasa za vyama vingi
Mbowe- Kila tunayeweza kumpokea kutoka vyama vilivyo nje ya UKAWA tutamchukua
Mbowe- Mungu ameamua kutumia chama chetu kujeruhi na kuangusha CCM.
Mbowe- CHADEMA ni chama cha siasa, ni chama makini, chama makinI ni chama cha watu, chama kisichokuwa makini ni chama cha viongozi.
 
msichokijua wengi ni kuwa slaani mkatoliki na siasaza ccm ni kuubeba ukatoliki no matter what haya yanayotokea kwa slaa si bahati mbaya kwa vile magufuli pia mkatoliki lazima atumiwe slaa kupunguza nguvu na kura za wapinzani na ikiwezekana edo ashindwe ili wakatoiki watawale ndio maana anaandaliwa safari ya Italy akatumikie kanisa lake at the sametime aitie damage chadema ishindwe ili mkatoliki ashinde
 
Mfa maji tu amna lolote mtakoma ata dr slaa akijiengua bado ukawa utasimama vizuri lowasa anakubalika sana
 
Umeongea kwa hekima na busara sana mdau humu kuna ushabiki sana ambao hata haueleweki mwanzo wake na mwisho wake sijui tumerogwa na nani

No one will really understand politics until they understand that politicians are not trying to solve our problems. They are trying to solve their own problems of which getting elected and re-elected are number one and number two. Whatever is number three is far behind.

At that point then we will stand as one and demand manifest know our rights what they are going to do for us ila kwa siasa hii ya kupenda watu nachelea kusema safari hata kuanza haijaanza ni kama tunavuta shuka kulala vizuri wakati kumeshakucha.
 


Inasikitisha kuona sisi wananchi wa kawaida kabisa tumemwelewa Mh Lowasa alivyoelezea kwa undani sakata la Richmond na mhusika wake mkuu lakini kiongozi mkubwa wa CDM kama Dr. Slaa unakuwa huelewi. Dr Slaa ili uitendee haki CHADEMA na UKAWA ni vema utulie kwenye chama mpaka uchaguzi mkuu upite ndipo uchukue hatua ya kuachana na siasa kama ni kweli una nia hiyo. Kiukweli katika uchaguzi huu ujao Dr Slaa hauna nguvu kisiasa ya kumshinda Magufuli kwenye uchaguzi ujao. Ukweli ndio huo. Na CHADEMA na UKAWA wameshachoka kushindwa katika kila chaguzi tangu mfumo wa vyama vingi uingie nchini 1992. Kumpata EL ndani ya CHADEMA na UKAWA kipindi hiki is a golden chance that might never come twice. Tushirikiane na EL kuiondoa CCM madarakani. By mwananchi wa kawaida sana Ester John
 
Tulieni maccm dawa iwaingie mtanyoka tuu mwaka huu mnajitahidi kumuongerea dr slaa ana wahusu nini ata akiama yeye ni mungu kwetu
 

Angalia unayoongea yasije kugeuka majuto. Usipende kuongea maneno ya vibarazani utaombwa ushahidi halafu itakula kwako. #cyberCrimeLaw
 
duh yAn mbowe kafanya hv?yan chama kimekuwa kama mali yake au taasis yake.namiunga mkono mzee slaa ana busara huwez lamba matapishi kumbuka cku za nyuma lowasa ndo ilikuwa sera ya cdm leo unaongea nn na amejisafisha nn? kifup hata cdm kupokea na kuwa hadhi ya kugombea tena ubunge udiwan wale walio shindwa ccm haifai sabb waliopiga kura za maon ccm ndo asilimia kubwa watakao piga kura ktk uchaguz mkuu.tatu iweje watu wamejenga chama chao miaka 20 leo aje mtu kwa cku mbil achukue chama kirahis tu.
 

True muddy
 
Slaa ana conflict of interest kwenye maamuzi yake ya ama kumpokea au kutompokea Lowasa chadema, kwakuwa Slaa anataka yeye awe ndo mgombea urais
 
Siasa za mwaka huu zina shida sana yaani kila mtu anakuwa mchambuzi wa mambo ya kisiasa

Haya ngoja tuone
 

Tukitumia theory yako maana yake Tanzania hakuna Ufisadi na Chadema wafunge Midomo yao kwa Kuwa Tenant wenu Lowassa kishasema kama una Ushahidi wa Rushwa au Ufisadi nenda Mahakamani (sio) kupost au kuandika humu otherwise kaa kimya tena kutumia neno (Shut up).
 
Binadamu bwana majizi hayaoni lowasa tu escrow lowasa anahusika? Alijiudhulu na ufisadi kama kawaida bomba la gas mtwara dar ambalo lina ufisadi wa kutisha lowasa anahusika acheni kujifanya mnajua kumbe ni mazuzu mbona hamthibitishi ufisadi wake swala la richmond ameongea na wahusika mnawajua lkn mmetia pamba masikioni kama hamjui nani mhusika dhuluma rushwa ndiyo mwongozo wenu ameamua kuhama mwacheni mzee wa watu,
 
Msomi wakili,unataka kutuaminisha kuwa kila msimamo wa Dr Slaa,lazima uwe sahihi? wajumbe wengine wasisikilizwe kwakuwa Mawazo ya Dr hayana kasoro?!! sio aquement za kisomi hizo.pia kumbuka swala la kupata mgombea wa UKAWA na CDM linatakiwa lifanywe haraka sio la kusubiri ili atambulishwe kwa wananchi, Rating ya LOWASA ktk nafasi ya Uraisi kwa tafiti za nyuma ipo juu,rejea walio mdhamini majuzi,ukilinganisha na Dr Slaa. Wote ni muhimu lkn LOWASA ni muhimu zaidi ndo maana hata Ukawa members wengine wamekubaliana apitishwe,is Dr Slaa genius that all opposition power house? Personally idont believe that.Siasa ni ushawishi,sio ultimatum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…