KazidiBBM
Member
- Jul 27, 2016
- 16
- 8
Kama binadamu wakwanza aligunduliwa kuwa alikuwa ni mtu aliyeishi bara la Africa lakini pia katika East Africa tena ni ndani ya nchi ya Tanzania ndivyo waandishi wa vitabu mbalimbali vya kidunia wasemavyo je ADAM na EVA/HAWA walikuwa wabongo?
Maoni yako au msaada wako katika hilo kulingana na jinsi unavyoelewa.
Karibu.
Maoni yako au msaada wako katika hilo kulingana na jinsi unavyoelewa.
Karibu.