#1. Kuna mamia ya vitabu vya forex hapa:
Traders Library
- Kwanza download telegram na weka kwenye simu yako / pc, Jisajiri
- Ndipo rejea kwenye hiyo link na telegram itafunguka
#2. {a} Inatakiwa uwe na trading stratergy uliyo ichagua, then soma vitabu vyake kuhusu hiyo stratergy, Sio kila kitabu cha forex kitakufaa.
{b} Soma zaidi vitabu vya trading psychology