Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,556
- 94,541
Ukiwa unatokea wapi? Moshi mtaa gani?Wiki tatu zilizopita
Ukiwa unatokea wapi? Moshi mtaa gani?Wiki tatu zilizopita
Arusha Mimi ni dereva fusoUkiwa unatokea wapi? Moshi mtaa gani?
Are there no experts in JF who can give their professional contributions? Because I see that there is no one to explain professionally, everyone is wandering in their own way, that is, the topic is being discussed more politically.
Unachekesha wewe unajua nguvu na majanga ya maji?Kiukweli mkuu , lazima kulikuwa uwekano mkubwa Sana wa kucontrol hayo maji na ndo lengo la mabwawa
Nchi zingine zinacontrol Hadi bahari kupwa na kujaa kwake wanaihamisha au wanazalisha umeme
Bahati mbaya pengine tech na akili ya kutengeneza mradi ilikuwa ndogo
Au pengine tulibargain Bei ndogo kwenye mradi wakatengeneza low quality
Inauma Sana kuona tuaachia mamillion ya lita za maji kuleta maafa
Badala ya kuyatumia kuzalisha
Inaonyesha kiwango kikubwa cha ujinga mkubwa Sana kujenga mradi wa matriolion kushindwa kutatua matatizo yalihoko kwenye mkondo WA maji
Hiyo Kasi na nguvu ya maporomoko ya maji yangetosha kupump maji yenyewe na kujisambaza kwenye mashamba makubwa Sana
Ya irrigation pengine hata mkoa jirani na mengine yahofadhiwe kwa misimu mengine haswa ya ukame
Hayo maji yangeweza kujipump yenyewe kujisambaza na kujaza maelfu ya mabwawa ya samaki WA maji baridi Kama sato Hadi mikoa jirani na kuzalisha matani ya samaki
Sijui tunafeli wapi kwakeli
So sad
Mpaka hapo Hilo bwawa limegeuka kuwa catastrophe Kwa Wananchi.
Unaambiwa ikitokea bahati mbaya likavunja Kingo zake,Rufiji nzima itakumbwa na Mafuriko.
View: https://twitter.com/lifeofmshaba/status/1776936147123421551?t=S5_Jyf2K6-Auglkys3JEmg&s=19
My Take
Huko Rufiji hakuna Usalama wa Maisha maana hili bwawa limekuwa kitisho Cha maisha.
Serikali hamisheni watu wote wa Wilaya hiyo maana mliyataka wenyewe Kwa kudhani walionusa hatari hii walishindwa kulijenga.
View: https://twitter.com/Mwanahalisitz/status/1776935137537618395?t=UUMmQT5sCAWZ0h0wJb7YvQ&s=19
Hizi Kauli zinakujaga kuwaponza kina Bashe👇👇
View: https://twitter.com/HusseinBashe/status/1776956538084544897?t=pjaE5vkiKdbtQ4ZoOXd6lA&s=19
Mpaka hapo Hilo bwawa limegeuka kuwa catastrophe Kwa Wananchi.
Unaambiwa ikitokea bahati mbaya likavunja Kingo zake,Rufiji nzima itakumbwa na Mafuriko.
View: https://twitter.com/lifeofmshaba/status/1776936147123421551?t=S5_Jyf2K6-Auglkys3JEmg&s=19
My Take
Huko Rufiji hakuna Usalama wa Maisha maana hili bwawa limekuwa kitisho Cha maisha.
Serikali hamisheni watu wote wa Wilaya hiyo maana mliyataka wenyewe Kwa kudhani walionusa hatari hii walishindwa kulijenga.
View: https://twitter.com/Mwanahalisitz/status/1776935137537618395?t=UUMmQT5sCAWZ0h0wJb7YvQ&s=19
Hizi Kauli zinakujaga kuwaponza kina Bashe👇👇
View: https://twitter.com/HusseinBashe/status/1776956538084544897?t=pjaE5vkiKdbtQ4ZoOXd6lA&s=19