Ukweli ambao prof.Muhongo ameficha

Umebaki muda wa kama saa 24 tu kitendawili kiteguliwe.

Baada ya kitendawili kuteguliwa, ndipo tutakapojua kama 'utatuachia' radhi au utakuwa umenusurika kutembea naked!
 
Nimekopi na kupesti kila kitu kuanzia heading na habari yenyewe hivyo sihusiki kwa lolote lile zaidi ya kuleta hii habari hapa JF na mimi kuchangia kama member wengine.
 
Ni kweli Muhongo hana kosa lolote. Kinachoendelea ni propaganda za Mengi na watu wake aliowahonga
una bifu na Mengi au amewahonga akina nani leta ushahidi acha porojo za kitoto
 
Nimekopi na kupesti kila kitu kuanzia heading na habari yenyewe hivyo sihusiki kwa lolote lile zaidi ya kuleta hii habari hapa JF na mimi kuchangia kama member wengine.

Kwa hiyo chochote unachokiona unafanya copy and paste bila ya kufikiri,waswahili bwana.
 
Why is this becoming too personal? something fishy here
 
ifike sehemu tuwe na utu, waziri muongo amefanikisha mengi japo anapaswa kuwajibika.....ila mchango wake kwenye wizara unajulikana

utaje maana kwa taarifa hii, hakuna jipya aliloanzisha labda la kusema wazawa ni maskini hatuna uwezo wa kuwekeza kwenye umeme na gas
 
chambua habari na utafakari usiwe mtumishi wa watu...
Nimekopi na kupesti kila kitu kuanzia heading na habari yenyewe hivyo sihusiki kwa lolote lile zaidi ya kuleta hii habari hapa JF na mimi kuchangia kama member wengine.
 
prof Muongo maisha yake yote amekuwa akishughulika na mawe, miamba na vifusi vya udongo mpaka akapata uprof. Ghafla bin vuu, kapewa hisani kuwa waziri kupitia mgongo wa wassira. Hii ilikuwa kama ajali kazini. Matokeo yake anaongea na watanzania kama ni mawe, miamba na vifusi. hategemei mtoe majibu kwa sababu alivyojisomea na kushughilika navyo havitoi majibu au malalamiko yeyote.
 
ifike sehemu tuwe na utu, waziri muongo amefanikisha mengi japo anapaswa kuwajibika.....ila mchango wake kwenye wizara unajulikana

You must be having a mental block, or mentally challenged if you can not understand the obvious!!bs
 
Hapa badala wa watu kujibu hoja kwa hoja,watakuja na ngonjera za kumuhusisha mmiliki wa chombo cha habari na habari yenyewe.

Huo ndo ukweli wa sio kumuandama Mengi.... tunamjua Mengi kuwa anamchukia Mhongo. Anatumia vyombo vyake kumuandama Waziri kisa alimnyima vitalu vya Gesi.
 
Ngeleja alitoa figures za Wizara alovyoiacha na ilivyo sasa.

If thise figures were accurate they are damning to Muhongo.
 
Kwa mtu mwenye Akili timamu ,hawezi changia na kuanza kuponda bila kujua chanzo cha habarii

Hapo mengi yuko kazini

Etii chanzo NIPASHE
 
Kifupi mi jina hilo najisikia mpaka vibaya kulisikia yaan MUHONGO,CHENGE hawawatu basi tu
 
Nipashe hawawezi kwenda kinyume na bosi wao. Hakika Mengi anatumia kila aina ya silaha aliyonayo kupambana na Prof Muhongo

Kwa hiyo nipashe walichoripoti ni uongo?
Au wameripoti ukweli kwa hasira Au kwa lengo la kumshushia heshima mzee wangu prof. Muhongo?
 
ifike sehemu tuwe na utu, waziri muongo amefanikisha mengi japo anapaswa kuwajibika.....ila mchango wake kwenye wizara unajulikana
Utu mbona upo,yule hana tofauti na kocha wa Chelsea kama unafulsa ya
kupata wachezaji bora duniani kwanini usionekane kocha bora?Vivyo hivyo
Prof,Muhongo alipewa nyenzo karibu zote hata ungekuwa wewe tungekusifia tu!
 
utaje maana kwa taarifa hii, hakuna jipya aliloanzisha labda la kusema wazawa ni maskini hatuna uwezo wa kuwekeza kwenye umeme na gas

Mlitegemea aache yale mazuri waliyoyaacha watanguliziwake? mbona mabaya mf kuvunja mkataba na Mkono & Advocate ameukata ? mkono alikuwa akichota pesa za Tanesco pasina kushinda kesi yoyoteya Tanesco, nani anakumbuka watu wanaoitwa vishoka Tanesco? je bado wapo, sasa hivigharama za kuunganishiwa umeme kwa line mpya unaweza linganisha na za wakati gani tuwe wakweli wadau chuki hazitatusaidia lolote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…