hellw waungwana ,samahan ninaomba kufahamishwa kuhusu hili swala.mimi nikijana nliyemaliza certificate in law chuo cha mzumbe nlitegemea kuendlea nadiploma lakn ikashndikana kutokana nakukosa fees.tangu nimemalza nimekuwa nikijitahdi kutafuta kazi bila mafanikio..hvyo nikaona niwashirikize jamaa mbalimbal ktk kunisaidia lakn wananiambia siwezi nikapata kazi ktokana na nlichosomea hvi nikwel waungwana?ninaomba mnisaidie ushauri.ninashukuru sana