Lowassa is a matured politician!
alishauri ccm na CDM wakae arusha ili kurinda hadhi ya jiji la Arusha - Akapingwa kwa matusi na dharau matokeo yake jambo dogo sana la mumuondoa yule diwani batili limesababisha mgogoro ambao unakaribia kuwa out of control!
Hivi sasa ameshauri juhudi za maksudi zifanyike kuondoa tatizo la ajira kwa vijana - anaanza kuambiwa anatafuta urais ndio sababu anasema hayo!! watu wanaosema hayo wanaona kabisa jinnsi miji mikubwa ya Tanzania ilivyojaa pet traders kazi ambazo zingefanywa na wazee wasio na nguvu badala yake zinafanywa na vijana wenye nguvu!