kwelinikwelitu
Member
- Sep 19, 2014
- 6
- 0
Ndugu zangu kuweni macho na Jerry Slaa anajipitisha kutaka ubunge wakati huku kwenye kata Gongolamboto hatujawahi kumwona nasikia kaja Kwa mara ya kwanza ktk chama chake Li CCM kagawa 30.000 wakati wananchi katuacha. Kafisadi manispaa sasa anakimbia .Jamani wana Ukonga tusidanganyika huyu huja na fedha lkn baadaye haonekani.2015 ni CDM tu