Alikuwa anamaanisha watu wanao kuwa madarakani kwa muda mrefu au uongozi wa chama kwa muda mrefu bila ya kuachia wengine hasa vijana, kwa mfano halisi ni chama cha magamba. Watoto wanazaliwa, wanaoa na kupata watoto bado wanasikia majina yaleyale katika uongozi wa serikali au chama.