Standard nzuri sana ya kuhakikisha mkataba unaelezea kila aina ya mazingira ili kutunza mali.
WaTanzania hatuna utamaduni huu, ndiyo maana tunaona ni kero hivyo mali iwe ya kampuni au nyumba zetu tunaona aibu kuweka mambo yote wazi. Mwisho wa siku kukitokea madhara tunalalamika.