mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Mwl Nyerere aliwahi kuhoji jiulize umelifanyia au utalifania nini Taifa lako. Kama ungepewa nafasi ya Urais kipaumbele chako kitakuwa nini!
Hili ndilo swali tunapaswa kuwahoji au kusikia kutoka kwa wagombea Urais.
Nikianza mimi mwenyewe, kama ningepewa nafasi hiyo nitatekeleza kwa vitendo miiko ya uongozi ili kurejesha maadili na uwajibikaji.
Hili ndilo swali tunapaswa kuwahoji au kusikia kutoka kwa wagombea Urais.
Nikianza mimi mwenyewe, kama ningepewa nafasi hiyo nitatekeleza kwa vitendo miiko ya uongozi ili kurejesha maadili na uwajibikaji.