Ukiwa unafunga novena ya mt ritha wa kashia
Je ni lazima kilasiku usali muda uleule kama ni sa 11 alfajiri uwe una sali sa 11 alfajiri kilasiku ??
Je ukijisahau siku nyingine ukasali sa 12 asubuh siku nyungine sa 11 asubuh je Mungu hatosikia maombi yako ?