Mwongo alikuwa anawahadithia watu jinsi alivyokuwa anamkimbiza swala porini ,akaishia amemkamata swala amemlaza chini. Mara cm ikaita, kumaliza kuongea akauliza niliishia wap kuhadithia? Wakajibu umemlaza chini...ahhh bas nikaanza kumto***. Wakamuuliza si swala...ahhh bas nikaanza kumchuna ngozi...watu ahaaaaa fiksi hizo kum*******ko hata bila kumchinja....