Vitu vilivyonizima simpendi tena Samia .
1. Alianza kubinafsisha bandari kwa waarabu wachafu kabisa wezi .
2. Kuwahamisha wanasai kuwapeleka handeni
3. Kuwapiga watu hawana hatia , eti wasiende mahakamani kisikiliza kesi ya tundu lissu . Mie hapo Samia kanizima moyo wangu