TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Hawa walijaribu kwa nguvu zao zote kuwepo Umoja wa Afrika wa kweli kweli kumbuka yaliyowapata...!
1.0 P. Lumumba -Congo,Kinshasa: Walimuyeyusha kwenye Tindikali
2.0 K.Nkurumah-Ghana,Accra: Walimuwekea vikwazo kakao yake isinunuliwe kwenye masoko yao, wananchi wakakosa kipato cha kujikimu wakamgeuka shujaa wao kilichoendelea mnakijua
3.0 Samora. M-Mosambique,Maputo: walimdungua
4.0 Colonel M.Gaddafi-Libya,Tripol: Mnajua kinachoendelea, cha ajabu kuna ma "sniper" wadunguaji huko uharabuni ambao waliua raia wakiwa kwenye mkusanyiko wala hawajashughulikiwa na hizo so called UN-RESOLUTIONS.
1.0 P. Lumumba -Congo,Kinshasa: Walimuyeyusha kwenye Tindikali
2.0 K.Nkurumah-Ghana,Accra: Walimuwekea vikwazo kakao yake isinunuliwe kwenye masoko yao, wananchi wakakosa kipato cha kujikimu wakamgeuka shujaa wao kilichoendelea mnakijua
3.0 Samora. M-Mosambique,Maputo: walimdungua
4.0 Colonel M.Gaddafi-Libya,Tripol: Mnajua kinachoendelea, cha ajabu kuna ma "sniper" wadunguaji huko uharabuni ambao waliua raia wakiwa kwenye mkusanyiko wala hawajashughulikiwa na hizo so called UN-RESOLUTIONS.