mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
Nimekua nikifuatilia mienendo ya baadhi ya wafuasi wa Chama cha kijani...siku za hivi karibuni wameamua kuiga kila kitu cha CHADEMA.
CHADEMA ikianzisha mada wanadakia na kudai ya kwao mwisho wa siku inawaumbua. Mfano CHADEMA walisema kuna mawaziri mizigo wajamaa wakadakia wakazunguka nayo weeee lakini mwisho wa siku mkuu wa kaya akawaaibisha mchana kweupe kwa kuwateua wale ambao hao makada wa kijani walidai ni mizigo. Hii imewapa credit cdm.
Lingine ni hili la kuvaa magwanda.... jamaa hawa kwa kuiga wacha tu...siku hizi wavaaji wa mavazi ya magwanda kwenye kijani wameongezeka sana!. Eti sijui ndo wanavaa ili waonekane nao makamandaaa au vipi? Kweli CHADEMA jembe.
Bado wataiga vingi tu....lakini mwisho wa siku vitawaumbua.
CHADEMA ikianzisha mada wanadakia na kudai ya kwao mwisho wa siku inawaumbua. Mfano CHADEMA walisema kuna mawaziri mizigo wajamaa wakadakia wakazunguka nayo weeee lakini mwisho wa siku mkuu wa kaya akawaaibisha mchana kweupe kwa kuwateua wale ambao hao makada wa kijani walidai ni mizigo. Hii imewapa credit cdm.
Lingine ni hili la kuvaa magwanda.... jamaa hawa kwa kuiga wacha tu...siku hizi wavaaji wa mavazi ya magwanda kwenye kijani wameongezeka sana!. Eti sijui ndo wanavaa ili waonekane nao makamandaaa au vipi? Kweli CHADEMA jembe.
Bado wataiga vingi tu....lakini mwisho wa siku vitawaumbua.