Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,860
- 12,293
Mara ya mwisho humu kuandikwa au kusoma habari za Mbowe ilikuwa ni tar 25 ya Xmass. Baada ya hapo ni mwendo wa Mwingira, akaja yule mkurugenzi wa tume ya uchaguzi, mara Zito sijui kampongeza Mwingira, leo watu wameamka na Ndugai. Kesho haujulikani atapangiwa nani mungine wa kuja kufubaza akili za hawa nyumbu wanaoelekea kwenye machinjio wenyewe.